UTACHEKA OMMY DIMPOZ alivyomvunja Mbavu Rais KIKWETE ALIKIBA ulikuwa unabana sauti RADIO yako nomaa.
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2025
- East African number one RUclips channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande Развлечения
Special love to Ali from kenya 🇰🇪 😍 ❤️
Ommy dimpoz umetisha na umekuja kivingine safi
Ommy n comedian mzur sanaa😅
Ommy dimpoz pole sana uko kwenye radio ya alikiba king napenda saana mimi Niko apa congo RDC
Penda sana king, ni ww peke yako tu❤
Muongo
Uko sawa kabisa dimpoz
Ila Omar 😂😂😂😂
Ommy dimpoz nimekupenda buree😂😂😂😂❤❤❤
Penda wote❤❤
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤love you too 👑👑👑👑
Ommy kumbe na uchekexhaji unaweza!!
Ommy ni komedian kuliko kuimba
VIE TWENTY ❤
King kiba penda weye sana ❣️❤️❤️💯
From congo
🔥🔥🔥❤
Parabéns Alikiba
Kumbe Ommy comedy
love san alikiba na ommy
King👑 n mjamo 💙💙💙
Kina Omar ndo walivo😂😂😂
Ommy pia anaweza comedy
Dah, Ommy Dimpoz 😅😅😅
Ali I love you
Usiweke chawa kwenye radio
King umetixha
Basi apo ali amekasilika😂
Omy
ommy da😂
Yaan Kuna mtu anacheka Kwa nguvu 😊😅😅😅😅
❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
Dimpoz kama dimpoz😂😂
Ommy ommy bwana mpya hiiyo
Afu Omi punguza manjonjo
Yan mmenichekesha
😅😅kweli ww comedy
Akachukue Nini Kwa mfalme
Ommy Dimpoz kiboko
😂😂😂😂😂
😅😅
Jamani bavu zangu
Ali Kiba muajiri Tanasha Donna kama Mtangazaji wako alikuwa NRG Kenya. Wakati wa uvumbuzi mwalike former Nairobi Gover
Hassan Joe
Kama kaka yake
Sasa yeye amchekeshe kikwete halafu mimi nicheke inanihusu nini?😂😂
Sas c unyamaze , shobo za nn
Wagamga tena sa hijja ulienda kufanyaje
Ni utani tu😂😂
😂😂😂😂
roho mbaya tu mbona mond aujamwarika
Akili HUNA wewe hao sio maadui Bali ni wanatengeneza hela ni marafiki wazuri pia usikute mond yupo hapo ila kamera asimchukui iyo biashara badirika pia ujitambue
@@esterstanley-123 mpumbavu kweli ww camera imwache mond ichukue ivo vibaraka 😁😁😁🙆♀️🙆♂️
Pia wewe binadamu fanya yako ualike mondi
Kwani nilazima mond naye awepo fanya ya kwako ili umualike mond😂
@@BithoSharley-zy5gu mond brand kubwaa
❤❤❤❤
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂